KWA MSAADA WA MUNGU
Matendo
26:22 Kwa kuwa nimeupata msaada utokao kwa Mungu
1. Kwa msaada wa
Mungu nitatenda mambo makuu.Zaburi 60:15
108:13
2. Kwa msaada wa
Mungu naruka ukuta na kwa msaada wa
Mungu nafuatia jeshi 2 Samweli 22:30 Zaburi 18:29
3. Kwa msaada wa
Mungu tutawapiga watesi wetu
4. Kwa msaada wa
Mungu nitalisifu Neno lake Zaburi 56:4,10
HEKIMA
ANAONGEA maneno yafuatayo:
5.
Kwa msaada wangu wakuu hutawala na
waungwana ,naam waamuzi wote wa dunia Mithali 8:16
6.
Kwa msaada wangu wafalme humiliki ,na
wakuu wanahukumu haki Mithali 8:15
Hivyo
basi :
7. Kwa msaada wa
Mungu:
o Tutafanikiwa
o Tutainuliwa
o Tutafika mbali
o Tutapanda
viwango
o Tutakubalika
o Tutalindwa
o Tutachanua
MANENO
YA UKIRI WANGU
1. Hakika wema na
fadhili vitakaa nami siku zote za maisha yangu nami nitakaa nyumbani mwa Bwana
daima zaburi 23:6
2. Sitakufa bali
nitaishi ili niyasimulie makuu ya Mungu
3. Mimi ni
mshindi zaidi ya kushinda
4. Atakayenigusa
atakuwa amegusa mboni ya jicho la Mungu
NA MWALIMU JAMES SADY
0717 820 980