Jumatatu, 29 Agosti 2016

KWA MSAADA WA MUNGU

KWA MSAADA WA MUNGU
            Matendo 26:22 Kwa kuwa nimeupata msaada utokao kwa Mungu
1.      Kwa msaada wa Mungu nitatenda mambo makuu.Zaburi 60:15  108:13
2.      Kwa msaada wa Mungu naruka ukuta  na kwa msaada wa Mungu nafuatia jeshi 2 Samweli 22:30 Zaburi 18:29
3.      Kwa msaada wa Mungu tutawapiga watesi wetu
4.      Kwa msaada wa Mungu nitalisifu Neno lake Zaburi 56:4,10
HEKIMA ANAONGEA maneno yafuatayo:
5.      Kwa msaada wangu wakuu hutawala na waungwana ,naam waamuzi wote wa dunia Mithali 8:16
6.      Kwa msaada wangu wafalme humiliki ,na wakuu wanahukumu haki Mithali 8:15

Hivyo basi :
7.      Kwa msaada wa Mungu:
o   Tutafanikiwa
o   Tutainuliwa
o   Tutafika mbali
o   Tutapanda viwango
o   Tutakubalika
o   Tutalindwa
o   Tutachanua

MANENO YA UKIRI WANGU

1.      Hakika wema na fadhili vitakaa nami siku zote za maisha yangu nami nitakaa nyumbani mwa Bwana daima zaburi 23:6
2.      Sitakufa bali nitaishi ili niyasimulie makuu ya Mungu
3.      Mimi ni mshindi zaidi ya kushinda
4.      Atakayenigusa atakuwa amegusa mboni ya jicho la Mungu


NA MWALIMU JAMES SADY

0717 820 980

Maoni 1 :

  1. Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖

    Baada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.

    Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.

    Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️

    Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:

    Masuala ya uhusiano au ndoa

    Ugonjwa au magonjwa

    Matatizo ya utasa au bahati nasibu

    Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali

    Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.

    Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
    Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com

    JibuFuta