KWA MSAADA WA MUNGU
Matendo
26:22 Kwa kuwa nimeupata msaada utokao kwa Mungu
1. Kwa msaada wa
Mungu nitatenda mambo makuu.Zaburi 60:15
108:13
2. Kwa msaada wa
Mungu naruka ukuta na kwa msaada wa
Mungu nafuatia jeshi 2 Samweli 22:30 Zaburi 18:29
3. Kwa msaada wa
Mungu tutawapiga watesi wetu
4. Kwa msaada wa
Mungu nitalisifu Neno lake Zaburi 56:4,10
HEKIMA
ANAONGEA maneno yafuatayo:
5.
Kwa msaada wangu wakuu hutawala na
waungwana ,naam waamuzi wote wa dunia Mithali 8:16
6.
Kwa msaada wangu wafalme humiliki ,na
wakuu wanahukumu haki Mithali 8:15
Hivyo
basi :
7. Kwa msaada wa
Mungu:
o Tutafanikiwa
o Tutainuliwa
o Tutafika mbali
o Tutapanda
viwango
o Tutakubalika
o Tutalindwa
o Tutachanua
MANENO
YA UKIRI WANGU
1. Hakika wema na
fadhili vitakaa nami siku zote za maisha yangu nami nitakaa nyumbani mwa Bwana
daima zaburi 23:6
2. Sitakufa bali
nitaishi ili niyasimulie makuu ya Mungu
3. Mimi ni
mshindi zaidi ya kushinda
4. Atakayenigusa
atakuwa amegusa mboni ya jicho la Mungu
NA MWALIMU JAMES SADY
0717 820 980
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
JibuFutaBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com