Uaminifu ni jambo
la msingi na ni chombo pekee kinachofaa ndani ya mahusiano mbalimbali,
kama ya biashara, mke na mume, mtu na mchumba, marafiki na
familia.uaminifu ni uwezo unaoleta imani kwa mtu, na ni njia ya
kukupeleka katika ubora wako.
Si kila mtu anaweza
kuaminika, tunatakiwa kuwa makini katika hilo, kwa sababu madhara yake ni
makubwa sana. Imani inajengwa na historia ya mtu mmoja ambaye anaweza kuaminika
na ni katika sehemu ambazo ameonekana kuwa ni mkweli na mwaminifu.
kitu kimoja cha
ajabu sana kuhusiana na imani ni kwamba , inachukua miaka kuijenga,
lakini ni dakika kuibomoa.kuna namna nyingi ungeweza kumwamini mtu au la.
fuatana nami katika maneno haya yanayoweza kuvutia, na kuamini neno
moja inahitaji uvumilivu mkubwa.
IMANI..INACHUKUA
MIAKA KUIJENGA, SEKUNDE KUIBOMOA, NA HUTAWEZA KUITENGENEZA TENA.
1.
NI NINI?
·
Ni
tunda la Roho Galatia 5:22
·
Ni
kutenda kwa namna sahihi na watu sahihi ,mahali sahihi ukitumia vitu sahihi kwa
wakati sahihi.
2.
FAIDA ZA KUWA MWAMINIFU Mathayo
25:21,23
·
Unaaminiwa
na watu
·
Unahifadhiwa
·
Unakubalika
·
Unasaidiwa
na watu
·
Unakopesheka
·
Macho yangu yatawaelekea waaminifu
Zaburi 101:6
3.
UAMINIFU UNAJENGWAJE?
·
Kwa kuwa mkweli katika mambo yote
·
Kuishi maisha matakatifu
·
Usemi wako uendane na matendo
4.
JINSI YA KUISHI MAISHA YA UAMINIFU
·
Zaburi 89:8 unakuzunguka
5.
MADHARA YA KUTOKUWA MWAMINIFU
Mithali 25:19
·
Rushwa
·
Aibu
·
Uonevu
·
kudharauliwa
6.
VIWANGO VYA UAMINIFU Zaburi 119:138
·
Mwaminifu machache Mathayo 25:21-23
7.
KUTHIBITISHA UAMINIFU Zaburi 89:2
·
Kutenda kwa uaminifu 2 Nyakati
34:12 2
Falme 12:5 22:7
Yosea 2:14
Amuzi 9:16
Zaburi 33:4
·
Kutenda uaminifu Mithali 12:22
8.
KUTOA KWA UAMINIFU
2 Nyakati 31:12
9.
ALAMA YA UAMINIFU YOELI 2:12
10. KUMWITA MUNGU KWA UAMINIFU ZABURI 145 :18
11. ROHO YA UAMINIFU MITHALI 11:13
12. KAZI YA UAMINIFU
·
Huhifadhi Mithali 20:28
·
Ni mshipi wa kujifungia Isaya 11:5
13. KUHUKUMU KWA UAMINIFU Mithali 29:14
14. KUTAFUTA UAMINIFU
YEREMIA 5:1
·
Kupoteza uaminifu yeremia 7:28 Zaburi
12:1 waaminifu wametoweka.
·
Katika uaminifu yeremia 9:3
·
Kusema Neno kwa uaminifu yeremia
23:28
·
Shahidi wa uaminifu yeremia 42:5
·
Kuposa kwa uaminifu Hosea 2:20
·
Mtumwa mwaminifu mathayo 25:21
·
Kuonyesha Tito 2:10
15. Kuwa mwaminifu katika
·
Utoaji
·
Utumishi
·
Muda
·
Usemi
·
Shughuli
·
Kimapenzi
·
Kibiashara
·
Kikazi
·
kirafiki
16. Kuhesabiwa kuwa Mwaminifu Nehemia 13:13
17. Ni mwamninfu katika nyumba yangu Hesabu 12:7
18. Shahidi mwaminifu hatasema uongo Mithali 14:5
19. Kuhani Mwaminifu 1 Samweli 2:35
20. Nani mwaminifu kama Daudi 1 Samweli 22:14
21. Mtu mwaminifu atakuwa na baraka Mithali 28:20
22. Mji mwaminifu uwekuwaje kahaba Isaya 1:21
23. Mji wa haki ,mji mwaminifu Isaya 1:26
24. Mashahidi waaminifu Isaya 8:2
25. Alikuwa mwaminifu hali kuonekana Daniel 6:4
26. SIFA ZA MTU MWAMINIFU
·
Mjumbe mwaminifu mithali 15:13
·
Ni mwenye haki Isaya 1:26
·
Ni mtakatifu Hosea 11:12
·
Ni mkweli
·
Ni mwaminifu
·
Ni mwenye fadhili
·
Ni mwema
·
Ni mnyenyekevu
MWALIMU JAMES SADY